Daniel Arap Moi, Rais wa zamani wa Kenya
Rais Mwai Kibaki anataka wananchi wa Lakini kamati iliyoundwa ya kujenga utaifa imesema mzozo huo wa kibinafsi unaathiri kazi zake.
Baadhi wanahisi
Rais Mwai Kibaki
Siku ya Alhamisi, Bw. Moi ambaye aliwahi kuwa rais wa Mwenyekiti wa Kamati hiyo ya kujenga utaifa (NCIC) Mzalendo Kibunjia amemtaka Bw. Moi kumheshimu rais na kutoa wito kwa Bw. Moi na Bw. Kibaki kujizuia kutoa matamshi ambayo yanaweza kusababisha mvutano katika kampeni za kura hiyo ya maoni.
Ghasia za mwaka 2007-8
Watu wasiopungua sita waliuawa baada ya bomu la kurushwa kwa mkono kutupwa katika mkutano wa kampeni ya kupinga rasimu hiyo mwezi Juni mjini
Ghasia nyingi za mwaka 2007-8 zilitokea wakati uhasama katika uchaguzi ulipozusha mizozo ya kugombea ardhi, hasa katika eneo la Bonde la
Moja ya kipengele katika rasimu ya katiba mpya, ni kuunda tume ya ardhi ambayo itataifisha ardhi iliyopatikana kwa njia zizozo halali wakati wa utawala wa rais Moi.
No comments:
Post a Comment